Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 7:17 - Swahili Revised Union Version

Ile gharika ilikuwako juu ya nchi siku arubaini; nayo maji yakazidi, yakaifanya safina ielee, ikaelea juu ya nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Gharika ilidumu nchini kwa muda wa siku arubaini. Maji yakaongezeka na kuiinua safina, ikaelea juu ya ardhi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Gharika ilidumu nchini kwa muda wa siku arubaini. Maji yakaongezeka na kuiinua safina, ikaelea juu ya ardhi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Gharika ilidumu nchini kwa muda wa siku arubaini. Maji yakaongezeka na kuiinua safina, ikaelea juu ya ardhi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani; maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka uso wa dunia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ile gharika ilikuwako juu ya nchi siku arobaini; nayo maji yakazidi, yakaifanya safina ielee, ikaelea juu ya nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 7:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mvua ikanyesha juu ya nchi, siku arubaini mchana na usiku.


Na walioingia, waliingia wa kike na wa kiume, wa kila kitu chenye mwili, kama vile alivyomwamuru Mungu; BWANA akamfungia.


Maji yakaongezeka zaidi juu ya nchi; na safina ikaelea juu ya uso wa maji.


Kwa maana baada ya siku saba nitainyeshea dunia mvua, siku arubaini mchana na usiku; na kila kilicho hai nilichokifanya juu ya uso wa nchi nitakifutilia mbali.


Yeye ndiye avijengaye vyumba vyake mbinguni, na kuweka misingi ya kuba yake juu ya nchi; yeye ndiye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA ndilo jina lake.