Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara.
Mwanzo 50:1 - Swahili Revised Union Version Yusufu akamwangukia babaye usoni, akamlilila, akambusu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu. Biblia Habari Njema - BHND Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu. Neno: Bibilia Takatifu Basi Yusufu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu. Neno: Maandiko Matakatifu Basi Yusufu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu. BIBLIA KISWAHILI Yusufu akamwangukia babaye usoni, akamlilia, akambusu. |
Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara.
Mimi nitashuka pamoja nawe mpaka Misri; nami nitakupandisha tena bila shaka; na Yusufu ataweka mkono wake juu ya macho yako.
Basi Yakobo alipokwisha kuwaagiza wanawe, akakunja miguu yake kitandani, akafa, akakusanywa pamoja na watu wake.
Yusufu akawaagiza watumishi wake waganga wampake baba yake dawa asioze. Waganga wakampaka dawa Israeli.
Basi Elisha alikuwa ameshikwa na ugonjwa wake uliomwua; naye Yehoashi mfalme wa Israeli akateremka amtazame, akamlilia mbele yake, akasema, Baba yangu! Baba yangu! Gari la Israeli na wapanda farasi wake!
Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.
Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.