Mwanzo 23:2 - Swahili Revised Union Version2 Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alifia huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akaomboleza na kumfanyia matanga Sara mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alifia huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akaomboleza na kumfanyia matanga Sara mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alifia huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akaomboleza na kumfanyia matanga Sara mkewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, naye Ibrahimu akalia na kumwomboleza Sara. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Ibrahimu akamwombolezea na kumlilia Sara. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara. Tazama sura |