Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 50:1 - Swahili Revised Union Version

1 Yusufu akamwangukia babaye usoni, akamlilila, akambusu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Hapo Yosefu akamkumbatia baba yake akilia na kumbusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi Yusufu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi Yusufu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Yusufu akamwangukia babaye usoni, akamlilia, akambusu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 50:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara.


Mimi nitashuka pamoja nawe mpaka Misri; nami nitakupandisha tena bila shaka; na Yusufu ataweka mkono wake juu ya macho yako.


Basi Yakobo alipokwisha kuwaagiza wanawe, akakunja miguu yake kitandani, akafa, akakusanywa pamoja na watu wake.


Yusufu akawaagiza watumishi wake waganga wampake baba yake dawa asioze. Waganga wakampaka dawa Israeli.


Basi Elisha alikuwa ameshikwa na ugonjwa wake uliomwua; naye Yehoashi mfalme wa Israeli akateremka amtazame, akamlilia mbele yake, akasema, Baba yangu! Baba yangu! Gari la Israeli na wapanda farasi wake!


Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.


Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.


Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo