Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 8:2 - Swahili Revised Union Version

2 Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Watu wamchao Mungu walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Watu wamchao Mungu walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Watu wamchao Mungu walimzika Stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Watu wacha Mungu wakamzika Stefano na kumwomboleza sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Watu wacha Mungu wakamzika Stefano na kumwombolezea sana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara.


Kisha wakaenda pamoja naye wapanda farasi, na magari; wakawa jeshi kubwa sana.


Kisha Daudi alimwambia Yoabu, na watu wote waliokuwa pamoja naye, Rarueni nguo zenu, mkajivike nguo za magunia, mkamlilie Abneri. Naye mfalme Daudi akaifuata jeneza.


Hezekia akalala na babaze, wakamzika mahali pa kupandia makaburi ya wana wa Daudi; nao Yuda wote na wenyeji wa Yerusalemu wakamfanyia heshima alipokufa. Na Manase mwanawe akatawala mahali pake.


Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote wanaume kwa wawanawake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hadi leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika Maombolezo.


Msimlilie aliyekufa, wala msimwombolezee, Bali mlilieni huyo aendaye zake mbali; Kwa maana yeye hatarudi tena, Wala hataiona nchi aliyozaliwa.


Basi, BWANA asema hivi, kuhusu habari za Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda; Hawatamwombolezea, wakisema, Aa! Ndugu yangu; au, Aa! Dada yangu; wala hawatamlilia, wakisema, Aa! Bwana wangu; au, Aa! Utukufu wake.


Na mkutano wote ulipoona ya kuwa Haruni amekufa, wakamwombolezea Haruni muda wa siku thelathini, maana, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea.


Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.


Na tazama, pale Yerusalemu palikuwa na mtu, jina lake Simeoni, naye ni mtu mwenye haki, mcha Mungu, akiitarajia faraja ya Israeli; na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.


mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu daima.


Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.


Siku ile kukatokea mateso makuu kwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemu; wote wakatawanyika katika nchi ya Yudea na Samaria, isipokuwa hao mitume.


Sauli akaliharibu kanisa, akiingia kila nyumba, na kuwaburuta wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani.


Wana wa Israeli wakamwombolezea Musa katika uwanda wa Moabu siku thelathini; basi siku za maombolezo ya matanga ya Musa zikaisha.


Basi Samweli alikuwa amefariki dunia, nao Waisraeli wote walikuwa wamemwomboleza, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe. Tena Sauli alikuwa amewaondolea mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo