Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 5:18 - Swahili Revised Union Version

Yaredi akaishi miaka mia moja na sitini na miwili, akamzaa Henoko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yaredi alipokuwa na umri wa miaka 162, alimzaa Henoki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yaredi alipokuwa na umri wa miaka 162, alimzaa Henoki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yaredi alipokuwa na umri wa miaka 162, alimzaa Henoki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yaredi alipokuwa ameishi miaka mia moja na sitini na mbili (162), akamzaa Idrisi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Idrisi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yaredi akaishi miaka mia moja na sitini na miwili, akamzaa Henoko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 5:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.


Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.


Yaredi akaishi baada ya kumzaa Henoko miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


na Henoko, na Methusela, na Lameki;


wa Methusela, wa Henoko, wa Yaredi, wa Mahalaleli, wa Kenani,


Basi alipokwisha kuyaona yale maono, mara tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Mungu ametuita tuwahubirie Habari Njema.