Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 5:17 - Swahili Revised Union Version

17 Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mahalaleli alifariki akiwa na umri wa miaka 895.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka mia nane tisini na tano (895), ndipo akafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 5:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Yaredi akaishi miaka mia moja na sitini na miwili, akamzaa Henoko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo