Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 47:10 - Swahili Revised Union Version

Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Yakobo akambariki Farao, akaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Yakobo akambariki Farao, akaondoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Yakobo akambariki Farao, akaondoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yakobo akambariki Farao, kisha akaondoka mbele yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Yakobo akambariki Farao, naye akaondoka mbele ya uso wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 47:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye Juu Sana, Muumba mbingu na nchi.


Yusufu akawakalisha babaye na nduguze, na kuwapa milki katika nchi ya Misri, katika mahali pazuri pa nchi, katika nchi ya Ramesesi, kama Farao alivyoamuru.


Yusufu akamleta Yakobo babaye ndani akamweka mbele ya Farao, Yakobo akambariki Farao.


Basi watu wote wakavuka Yordani, naye mfalme akavuka; kisha mfalme akambusu Barzilai, akambariki; naye akarudi nyumbani kwake.


Tou akamtuma Yoramu mwanawe kwa mfalme Daudi ili kumsalimia, na kumpongeza, na kumbariki, kwa sababu amepigana na Hadadezeri, na kumpiga; kwa maana Hadadezeri alikuwa amepigana vita juu ya Tou. Na mkononi mwake Yorabu akaleta vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na vyombo vya shaba;


Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu.


Wapitao nao hawasemi, Amani ya BWANA ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la BWANA.


Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake.


Wala haikanushiki kabisa kwamba mdogo hubarikiwa na mkubwa.


Yoshua akambariki, akampa Kalebu, huyo mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.