Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 41:18 - Swahili Revised Union Version

na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikawaona ng’ombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni, wakaja kujilisha kwenye matete.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nikawaona ng’ombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni wakaja kujilisha kwenye matete.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 41:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Farao akamwambia Yusufu, Katika ndoto yangu nilikuwa nimesimama ukingoni mwa mto;


Kisha, tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda baada yao, dhaifu, wabaya sana, wamekonda; katika nchi yote ya Misri sijaona kama hao kwa udhaifu.


Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.


BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kama zilivyo tini hizi nzuri, ndivyo nitakavyowaangalia mateka wa Yuda, niliowatoa katika mahali hapa, waende mpaka nchi ya Wakaldayo, wapate mema.


Na habari za tini zile mbovu, zisizoweza kuliwa, kwa kuwa ni mbovu sana; hakika, asema, BWANA, ndivyo nitakavyomtoa Sedekia, mfalme wa Yuda, na wakuu wake, na mabaki ya Yerusalemu, waliosalia katika nchi hii, na hao wanaokaa katika nchi ya Misri.