Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 38:6 - Swahili Revised Union Version

Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yuda akamtwalia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aliyeitwa Tamari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aitwaye Tamari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 38:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


Akaendelea, akazaa tena mwana mwingine, akamwita jina lake Shela. Naye Yuda alikuwa huko Kezibu, alipomzaa.


Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa BWANA; na BWANA akamwua.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;