Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 38:6 - Swahili Revised Union Version

6 Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Baadaye Yuda alimwoza mtoto wake wa kwanza Eri, kwa mwanamke aitwaye Tamari.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yuda akamtwalia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aliyeitwa Tamari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yuda akampatia Eri, mzaliwa wake wa kwanza, mke aitwaye Tamari.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Yuda akamwoza mke Eri, mzaliwa wake wa kwanza, na jina lake huyo mke ni Tamari.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 38:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


Akaendelea, akazaa tena mwana mwingine, akamwita jina lake Shela. Naye Yuda alikuwa huko Kezibu, alipomzaa.


Naye Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa BWANA; na BWANA akamwua.


Yuda akamzaa Peresi na Zera kwa Tamari; Peresi akamzaa Esromu; Esromu akamzaa Aramu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo