Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 34:9 - Swahili Revised Union Version

Mkaoane na sisi, mtupe sisi binti zenu, nanyi mkatwae binti zetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Acheni tuoane: Nyinyi mtatuoza binti zenu, nasi tutawaoza binti zetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Acheni tuoane: Nyinyi mtatuoza binti zenu, nasi tutawaoza binti zetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Acheni tuoane: nyinyi mtatuoza binti zenu, nasi tutawaoza binti zetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Oaneni na sisi; tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkaoane na sisi, mtupe sisi binti zenu, nanyi mkatwae binti zetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 34:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lutu akatoka na kusema na wachumba wa binti zake, akawaambia, “Ondokeni mahali hapa kwa sababu BWANA atauharibu mji huu”. Lakini akaonekana kama achezaye machoni pa wakwe zake.


nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


Rebeka akamwambia Isaka, Rohoni mwangu sina raha kwa sababu ya hao binti za Hethi. Kama Yakobo akitwaa mke katika binti za Hethi, kama hawa binti za nchi, maisha yangu yatanifaidi nini?


Nanyi mtakaa nasi, na nchi hii itakuwa mbele yenu; kaeni, na kufanya biashara humo, mkapate mali humo.


Hamori akasema nao, akinena, roho ya Shekemu, mwanangu, inamtamani binti yenu, tafadhalini, mpeni amwoe.


wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wowote waliowachagua.


je! Tuzivunje tena amri zako, tukajiunge na watu wanaotenda machukizo hayo, kwa kuoana nao? Je! Usingekasirika nasi hata kutuangamiza kabisa, pasisalie mabaki yoyote, wala mtu wa kuokoka?


binti yako usimwoze kwao wala mtoto wako wa kiume kuoa kwao.