Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:8 - Swahili Revised Union Version

8 Hamori akasema nao, akinena, roho ya Shekemu, mwanangu, inamtamani binti yenu, tafadhalini, mpeni amwoe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Lakini Hamori akawaambia, “Mwanangu Shekemu anampenda sana binti yenu. Basi, tafadhali mumruhusu amwoe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Lakini Hamori akawaambia, “Mwanangu Shekemu anampenda sana binti yenu. Basi, tafadhali mumruhusu amwoe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Lakini Hamori akawaambia, “Mwanangu Shekemu anampenda sana binti yenu. Basi, tafadhali mumruhusu amwoe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Hamori akasema nao, akinena, roho ya Shekemu, mwanangu, inamtamani binti yenu, tafadhalini, mpeni amwoe.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.


Wanawe Yakobo waliposikia hayo, wakaja kutoka malishoni; nao wakasikitika sana, wakakasirika mno, kwa sababu amefanya upumbavu katika Israeli kwa kulala na binti Yakobo, jambo lisilostahili kutendeka.


Mkaoane na sisi, mtupe sisi binti zenu, nanyi mkatwae binti zetu.


na wa mataifa BWANA aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda.


Kama mtumishi atamaniye sana kile kivuli, Kama mwajiriwa anayetazamia mshahara wake;


Roho yangu imepondeka kwa kutamani Hukumu zako kila wakati.


Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.


Nafsi yangu imezionea shauku nyua za BWANA, Naam, na kuzikondea. Moyo wangu na mwili wangu Vinamlilia Mungu aliye hai.


Lakini nchi ile ambayo wanatamani kuirudia, hawatairudia kamwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo