Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:5 - Swahili Revised Union Version

Naye Bilha akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bilha akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bilha akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bilha akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa kiume.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Bilha akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bilha akapata mimba, naye akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Bilha akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Umejua jinsi nilivyokutumikia, na jinsi wanyama wako walivyokuwa kwangu.


Basi akampa Bilha mjakazi wake kuwa mkewe. Yakobo akaingia kwake.


Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.


Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Hao ndio wana wa Bilha, ambaye Labani alimpa Raheli, binti yake, naye akamzalia Yakobo hao; wote walikuwa watu saba.


Hawa ndio wana wa Israeli; Reubeni, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni;


Katika wana wa Dani, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Haya ndiyo majina ya wanaume watakaokusaidia; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.


Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.