Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:5 - Swahili Revised Union Version

5 Haya ndiyo majina ya wanaume watakaokusaidia; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Haya ndiyo majina ya watu watakaokusaidia: Kabila la Reubeni: Elisuri, mwana wa Shedeuri;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Haya ndiyo majina ya watu watakaokusaidia: Kabila la Reubeni: Elisuri, mwana wa Shedeuri;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Haya ndiyo majina ya watu watakaokusaidia: Kabila la Reubeni: Elisuri, mwana wa Shedeuri;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Haya ndiyo majina ya wanaume watakaokusaidia; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wakuu wa makabila ya Israeli walikuwa hawa; wa Wareubeni, Eliezeri mwana wa Zikri; wa Wasimeoni, Shefatia mwana wa Maaka;


Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Mahali pa mbele ilisafiri beramu ya kambi ya wana wa Yuda, kwa majeshi yao; na Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyekuwa juu ya jeshi lake.


Kisha beramu ya kambi ya Reubeni ikasafiri kwenda mbele kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake alikuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


Upande wa kusini kutakuwa na bendera ya kambi ya Reubeni kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Reubeni atakuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


Na hao watakaopanga upande wa mashariki, kwa kuelekea maawio ya jua, ndio wale wa bendera ya kambi ya Yuda, kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Yuda atakuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.


Basi aliyetoa matoleo yake siku ya kwanza ni Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda;


ndipo wakuu wa Israeli, vichwa vya nyumba za baba zao, wakatoa matoleo; hao ndio wakuu wa makabila, hao ndio waliokuwa juu yao waliohesabiwa;


Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, mkuu wa wana wa Reubeni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo