Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 28:7 - Swahili Revised Union Version

na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake, naye ameenda Padan-Aramu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 28:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akawa mwenye miaka arubaini alipomtwaa Rebeka binti Bethueli, Mshami, wa Padan-aramu, ndugu wa Labani, Mshami, kuwa mke wake.


Na sasa, mwanangu, sikia sauti yangu, uondoke, ukimbilie kwa Labani, ndugu yangu huko Harani;


Esau akaona ya kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumtuma Padan-aramu, ili ajitwalie mke huko, na katika kumbariki akamwagiza, akasema, Usioe mke wa binti za Kanaani,


Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Kila mtu na amche mama yake, na baba yake, nanyi mtazitunza Sabato zangu; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.


Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.


Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.