Mwanzo 28:8 - Swahili Revised Union Version8 Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Basi, Esau akafahamu kwamba baba yake hapendezwi na wanawake wa Kanaani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Esau akatambua jinsi baba yake Isaka alivyowachukia binti za Wakanaani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaka anavyowachukia binti za Wakanaani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake. Tazama sura |