Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 6:3 - Swahili Revised Union Version

3 Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 “Upate fanaka na kuishi miaka mingi duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 “Upate fanaka na kuishi miaka mingi duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 “Upate fanaka na kuishi miaka mingi duniani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 “upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 “upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


wala msijenge nyumba, wala msipande mbegu, wala msipande mizabibu, wala msiwe nayo; bali siku zenu zote mtakaa katika hema; mpate kuishi siku nyingi katika nchi ambayo mtakaa ndani yake kama wageni.


Likiwa jema, au likiwa baya, sisi tutaitii sauti ya BWANA, Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake; ipate kuwa faida yetu, tunapoitii sauti ya BWANA, Mungu wetu.


Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,


Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.


Usiile; ili upate kufanikiwa, na watoto wako baada yako utakapofanya yaliyoelekea machoni pa BWANA.


Maneno haya ninayokuagiza yote yatunze na kuyasikiza, ili upate kufanikiwa na watoto wako baada yako milele, hapo unapoyafanya yaliyo mema na kuelekea machoni pa BWANA, Mungu wako.


sharti umwache yule koo aende zake, lakini makinda waweza kuyatwaa uwe nayo; ili upate kufanikiwa, ufanye siku zako kuwa nyingi.


Basi, zishike sheria zake, na amri zake, ninazokuamuru leo, upate kufanikiwa, wewe na watoto wako baada yako, na siku zako ziwe nyingi katika nchi ile akupayo BWANA, Mungu wako, milele.


Waheshimu baba yako na mama yako; kama BWANA, Mungu wako, alivyokuamuru, siku zako zipate kuzidi, nawe upate kufanikiwa katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Endeni njia yote aliyowaagiza BWANA, Mungu wenu, mpate kuwa hai, na kufanikiwa, mkafanye siku zenu kuwa nyingi katika nchi mtakayoimiliki.


Nawe fanya yaliyo sawa, na mema, machoni pa BWANA; ili mpate kufanikiwa, nawe upate kuingia na kuimiliki nchi nzuri BWANA aliyowaapia baba zako,


Sikiliza basi, Ee Israeli, ukaangalie kuzitenda; upate kufanikiwa, mpate kuongezeka sana, kama BWANA, Mungu wa baba zako, alivyokuahidi, katika nchi ijaayo maziwa na asali.


Kisha Naomi akamwambia mkwewe, Je! Mwanangu, si vizuri nikutafutie raha, ili upate mema?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo