Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 6:2 - Swahili Revised Union Version

2 Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi,

Tazama sura Nakili




Waefeso 6:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.


Naye Yeremia akawaambia watu wa nyumba ya Warekabi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kwa sababu mmeitii amri ya Yonadabu, baba yenu, na kuyashika maagizo yake yote, na kutenda sawasawa na yote aliyowaamuru;


wala msijenge nyumba, wala msipande mbegu, wala msipande mizabibu, wala msiwe nayo; bali siku zenu zote mtakaa katika hema; mpate kuishi siku nyingi katika nchi ambayo mtakaa ndani yake kama wageni.


Ndani yako wamedharau baba na mama; kati yako wamewatenda wageni udhalimu; ndani yako wamewaonea yatima na mjane.


Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, kama mimi ni baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi? BWANA wa majeshi awauliza ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau jina langu. Nanyi mwasema, Tumelidharau jina lako kwa jinsi gani?


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.


Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.


Na alaaniwe amdharauye baba yake au mama yake. Na watu wote waseme, Amina.


Waheshimu baba yako na mama yako; kama BWANA, Mungu wako, alivyokuamuru, siku zako zipate kuzidi, nawe upate kufanikiwa katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili lakubalika mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo