Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 23:1 - Swahili Revised Union Version

Basi umri wake Sara ulikuwa miaka mia moja na ishirini na saba, ndio umri wake Sara.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sara aliishi miaka 127. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha yake Sara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sara aliishi miaka 127. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha yake Sara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sara aliishi miaka 127. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha yake Sara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sara aliishi miaka mia moja na ishirini na saba (127).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi umri wake Sara ulikuwa miaka mia moja na ishirini na saba, ndio umri wake Sara.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 23:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia moja, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?


Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.


Sara akafa katika Kiriath-arba, ndio Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akamlilia na kumwombolezea Sara.


Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mama yake.