Mwanzo 24:67 - Swahili Revised Union Version67 Isaka akamwingiza Rebeka katika hema ya mama yake, Sara, akamtwaa Rebeka, akawa mkewe, akampenda; Isaka akafarijika kwa ajili ya kufa kwa mama yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema67 Basi, Isaka akamchukua Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya Sara mama yake, akawa mke wake. Isaka akampenda Rebeka na kupata faraja baada ya kifo cha mama yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND67 Basi, Isaka akamchukua Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya Sara mama yake, akawa mke wake. Isaka akampenda Rebeka na kupata faraja baada ya kifo cha mama yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza67 Basi, Isaka akamchukua Rebeka ndani ya hema iliyokuwa ya Sara mama yake, akawa mke wake. Isaka akampenda Rebeka na kupata faraja baada ya kifo cha mama yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu67 Isaka akamwingiza Rebeka katika hema la Sara mama yake. Isaka akamchukua Rebeka, hivyo akawa mke wake. Isaka akampenda; akafarijika baada ya kifo cha mama yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu67 Ndipo Isaka akamwingiza Rebeka katika hema la Sara mama yake, Isaka akamchukua Rebeka, hivyo akawa mke wake. Isaka akampenda, akafarijika baada ya kifo cha mama yake. Tazama sura |