Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 20:15 - Swahili Revised Union Version

Abimeleki akasema, Nchi yangu iko mbele yako, ishi upendapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena Abimeleki akamwambia Abrahamu, “Tazama, nchi hii yote ni yangu! Basi, chagua popote upendapo, ukae.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena Abimeleki akamwambia Abrahamu, “Tazama, nchi hii yote ni yangu! Basi, chagua popote upendapo, ukae.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena Abimeleki akamwambia Abrahamu, “Tazama, nchi hii yote ni yangu! Basi, chagua popote upendapo, ukae.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako; ishi popote unapotaka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abimeleki akasema, Nchi yangu iko mbele yako, ishi upendapo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 20:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Nchi hii yote haiko mbele yako? Basi jitenge nami, nakusihi; ukienda upande wa kushoto, nitakwenda upande wa kulia; ukienda upande wa kulia, nitakwenda upande wa kushoto.


Nanyi mtakaa nasi, na nchi hii itakuwa mbele yenu; kaeni, na kufanya biashara humo, mkapate mali humo.


Mkaniletee ndugu yenu mdogo; ndipo nitakapojua kama ninyi si wapelelezi, bali ni watu wa kweli; basi nitawarudishia ndugu yenu, nanyi mtafanya biashara katika nchi hii.


nchi ya Misri iko mbele yako, palipo pema pa nchi uwakalishe baba yako na ndugu zako; na wakae katika nchi ya Gosheni. Tena ukijua ya kuwa wako watu hodari miongoni mwao, uwaweke wawe wakuu wa wanyama wangu.


Na sasa, tazama, nakufungulia leo minyororo hii iliyo mikononi mwako. Kama ukiona ni vema kwenda Babeli pamoja nami, haya! Njoo, nami nitakutunza sana; lakini kama ukiona ni vibaya kwenda Babeli pamoja nami, basi, acha; tazama, nchi yote iko mbele yako; palipo pema machoni pako na pa kukufaa, nenda huko.