Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 2:13 - Swahili Revised Union Version

Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jina la mto wa pili ni Gihoni; huo waizunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jina la mto wa pili ni Gihoni; huo waizunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jina la mto wa pili ni Gihoni; huo waizunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 2:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.


Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;


na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.


Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati.


Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili, ili ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu, na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.