Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Watoto wa kiume wa Hamu walikuwa Kushi, Misri, Puti na Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Watoto wa kiume wa Hamu walikuwa Kushi, Misri, Puti na Kanaani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Watoto wa kiume wa Hamu walikuwa Kushi, Misri, Puti na Kanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misri, Putu na Kanaani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.


Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.


Baada ya Nuhu kufikisha umri wa miaka mia tano, aliwazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.


Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.


Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.


Wakaona malisho ya unono, mazuri, na nchi yenyewe ilikuwa wazi, tulivu na yenye amani; kwani waliokaa huko zamani walikuwa watu wa Hamu.


Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.


Akatenda mambo ya ishara zake kati yao, Na miujiza katika nchi ya Hamu.


Matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu, Mambo ya kutisha penye Bahari ya Shamu.


Akampiga kila mzaliwa wa kwanza wa Misri, Malimbuko ya nguvu katika hema za Hamu.


Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili, ili ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu, na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.


Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.


Watu wa Uajemi na Ludi na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita; walitungika ngao na chapeo ndani yako; wakadhihirisha uzuri wako.


Uajemi, na Kushi, na Putu, pamoja nao; wote wana ngao na chapeo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo