Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 17:2 - Swahili Revised Union Version

Nami nitafanya agano langu nawe, nami nitakuzidishia sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nami nitafanya agano nawe na kuwazidisha wazawa wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nami nitafanya agano nawe na kuwazidisha wazawa wako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nami nitafanya agano nawe na kuwazidisha wazawa wako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitafanya agano kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nitafanya agano langu nawe, nami nitakuzidishia sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 17:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;


Na uzao wako nitaufanya uwe kama mavumbi ya nchi; ikiwa mtu ataweza kuyahesabu mavumbi ya nchi, uzao wako nao utahesabika.


Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Akamtoa nje, akasema, Tazama juu mbinguni kisha uzihesabu nyota, kama unaweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.


katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki lango la adui zao;


Na Mungu Mwenyezi, akubariki, akuzidishe, na kukuongeza, ili uwe mtu wa watu wengi.


Tazama, nilithibitisha agano langu nanyi; tena na uzao wenu baada yenu;


Lakini BWANA akawahurumia, akawasikitikia, na kuwaangalia, kwa ajili ya agano lake na Abrahamu, na Isaka, na Yakobo, wala hakutaka kuwaangamiza, wala hakuwatupa usoni pake bado.


Agano alilofanya na Abrahamu, Na kiapo chake kwa Isaka;


Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;