Mwanzo 17:1 - Swahili Revised Union Version1 Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi-Mungu alimtokea, akamwambia, “Mimi ni Mungu mwenye nguvu. Fuata mwongozo wangu na kuishi bila lawama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi-Mungu alimtokea, akamwambia, “Mimi ni Mungu mwenye nguvu. Fuata mwongozo wangu na kuishi bila lawama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Wakati Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi-Mungu alimtokea, akamwambia, “Mimi ni Mungu mwenye nguvu. Fuata mwongozo wangu na kuishi bila lawama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Abramu alipokuwa na umri wa miaka tisini na tisa, Mwenyezi Mungu akamtokea, akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi; nenda mbele zangu na uishi kwa unyofu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, bwana akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi Mungu; enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Tazama sura |