Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 17:18 - Swahili Revised Union Version

Abrahamu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti ungekubali ahadi yako hiyo imhusu Ishmaeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti ungekubali ahadi yako hiyo imhusu Ishmaeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti ungekubali ahadi yako hiyo imhusu Ishmaeli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 17:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Abrahamu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia moja, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?


Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.


Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Abrahamu, kwa ajili ya mwanawe.


utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani.


Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.


Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.


Nami katika ukamilifu wangu umenitegemeza, Umeniweka mbele za uso wako milele.


lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.


nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;


Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.