Mwanzo 21:11 - Swahili Revised Union Version11 Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Abrahamu, kwa ajili ya mwanawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa kuwa Ishmaeli pia alikuwa mtoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa kuwa Ishmaeli pia alikuwa mtoto wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa kuwa Ishmaeli pia alikuwa mtoto wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Ibrahimu kwa sababu lilimhusu mwanawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Jambo hili lilimhuzunisha sana Ibrahimu kwa sababu lilimhusu mwanawe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Abrahamu, kwa ajili ya mwanawe. Tazama sura |