Mwanzo 4:12 - Swahili Revised Union Version12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani bila utulivu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na makao duniani. Tazama sura |