Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:16 - Swahili Revised Union Version

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Mhivi, na Mwarki, na Msini,


Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana uovu wa Waamori haujatimia bado.


Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,


na Mwamori, na Mkanaani, na Mgirgashi, na Myebusi.


Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie BWANA madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi.


na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;


Nami nitaondoa damu yake kinywani mwake, na machukizo yake nitayatoa katika meno yake; yeye naye atakuwa ni mabaki kwa Mungu wetu; naye atakuwa kama mtu mkuu katika Yuda, na Ekroni kama Myebusi.


BWANA, Mungu wako, atakapokutia katika nchi uendayo kuimiliki, atakapoyang'oa mataifa mengi watoke mbele yako, Mhiti, na Mgirgashi, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, mataifa saba makubwa yenye nguvu kukupita wewe;


Lakini wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa mji wa Yerusalemu; bali Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Benyamini ndani ya Yerusalemu hata hivi leo.