Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:15 - Swahili Revised Union Version

15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kanaani alikuwa babu yake Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kanaani alikuwa babu yake Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kanaani alikuwa babu yake Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:15
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akaondoka Abrahamu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena,


nami nitakuapisha kwa BWANA, Mungu wa mbingu, na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke katika binti za Wakanaani ambao nakaa kati yao;


Zabuloni atakaa pwani ya bahari, Naye atakuwa kama pwani za kuegesha merikebu, Na mpaka wake utakuwa kando ya Sidoni.


Naye Daudi akatuma mtu akauliza habari za yule mwanamke. Mtu mmoja akasema, Je! Huyu siye Bathsheba, binti Eliamu, mkewe Uria, Mhiti?


kisha wakaja Gileadi, na nchi ya Wahiti huko Kadeshi; kisha wakaja Dani, na kutoka Dani wakazunguka mpaka Sidoni,


Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;


nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Liangalie neno hili ninalokuamuru leo; tazama, mbele yako namtoa Mwamori, na Mkanaani, na Mhiti, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Tahayari, Ee Sidoni; kwa maana bahari imenena, hiyo ngome ya bahari ilisema, Sikuona uchungu, wala sikuzaa, wala sikulea vijana, wala sikulea wanawali.


kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Wakaao Sidoni na Arvadi ndio waliovuta makasia yako; wana wako wenye akili, Ee Tiro, walikuwa ndani yako, ndio waliokuwa rubani zako.


Mwanadamu, uuelekezee Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake,


BWANA akawatia mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga, na kuwafukuza mpaka kufikia Sidoni ulio mkuu, tena hadi kufika Misrefoth-maimu, tena hata kufikia bonde la Mispa upande wa mashariki; wakawaua wote, wasibakize hata mtu mmoja


Ndipo Daudi akajibu, akamwambia Ahimeleki, Mhiti, na Abishai, mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, akisema, Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwa Sauli kambini? Abishai akasema, Mimi nitashuka pamoja nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo