Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:14 - Swahili Revised Union Version

14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Wapathrusi, Wakasluhi (ambao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Wapathrusi, Wakasluhi (ambao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Wapathrusi, Wakasluhi (ambao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti na Wakaftori.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.


Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili, ili ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu, na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.


Neno lililomjia Yeremia, kuhusu Wayahudi wote waliokaa katika nchi ya Misri, waliokaa Migdoli, na Tapanesi, na Nofu, na katika nchi ya Pathrosi, kusema,


kwa sababu ya siku ijayo kuwaangamiza Wafilisti wote, kukatilia mbali kila msaidizi wa Tiro na Sidoni asaliaye; maana BWANA atawaharibu Wafilisti, mabaki ya kisiwa cha Kaftori.


Je! Ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu mimi, enyi wana wa Israeli, asema BWANA? Je! Mimi sikuwapandisha Israeli toka nchi ya Misri, na Wafilisti toka Kaftori, na Washami toka Kiri?


na Waavi waliokuwa wakikaa katika vijiji mpaka Gaza waliangamizwa na Wakaftori waliotoka Kaftori, na hawa wakakaa badala yao.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo