Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:13 - Swahili Revised Union Version

13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Misri alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.


Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.


Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi ya agano, wataanguka kwa upanga pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo