Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 10:16 - Swahili Revised Union Version

16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 na pia babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 10:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Mhivi, na Mwarki, na Msini,


Na kizazi cha nne kitarudi hapa, maana uovu wa Waamori haujatimia bado.


Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,


na Mwamori, na Mkanaani, na Mgirgashi, na Myebusi.


Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie BWANA madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi.


na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;


Nami nitaondoa damu yake kinywani mwake, na machukizo yake nitayatoa katika meno yake; yeye naye atakuwa ni mabaki kwa Mungu wetu; naye atakuwa kama mtu mkuu katika Yuda, na Ekroni kama Myebusi.


BWANA, Mungu wako, atakapokutia katika nchi uendayo kuimiliki, atakapoyang'oa mataifa mengi watoke mbele yako, Mhiti, na Mgirgashi, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, mataifa saba makubwa yenye nguvu kukupita wewe;


Lakini wana wa Benyamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa mji wa Yerusalemu; bali Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Benyamini ndani ya Yerusalemu hata hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo