2 Samueli 24:18 - Swahili Revised Union Version18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie BWANA madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Siku hiyohiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, “Panda juu, ukamjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Arauna, Myebusi.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Siku hiyohiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, “Panda juu, ukamjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Arauna, Myebusi.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Siku hiyohiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, “Panda juu, ukamjengee Mwenyezi-Mungu madhabahu, katika kiwanja cha kupuria nafaka cha Arauna, Myebusi.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee Mwenyezi Mungu madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee bwana madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi, akamwambia, Haya! Kwea wewe, ukamwinulie BWANA madhabahu penye kiwanja cha Arauna, Myebusi. Tazama sura |