Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:13 - Swahili Revised Union Version

Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Misri alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.


Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.


Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi ya agano, wataanguka kwa upanga pamoja nao.