Mwanzo 10:13 - Swahili Revised Union Version Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi, Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi, Biblia Habari Njema - BHND Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi, Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi, Neno: Bibilia Takatifu Misri alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, Neno: Maandiko Matakatifu Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, BIBLIA KISWAHILI Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi, |
Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.
Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi ya agano, wataanguka kwa upanga pamoja nao.