Nchi yenu ni ukiwa; miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu, wageni wameila mbele ya macho yenu; nayo ni ukiwa, kana kwamba imeangamizwa na wageni.
Mika 5:11 - Swahili Revised Union Version nami nitaikatilia mbali miji ya nchi yako, na ngome zako zote nitaziangusha; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Nitaiharibu miji ya nchi yenu, na kuzibomolea mbali ngome zenu. Biblia Habari Njema - BHND Nitaiharibu miji ya nchi yenu, na kuzibomolea mbali ngome zenu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Nitatokomeza matendo yenu ya uchawi, nanyi hamtakuwa tena na wapiga ramli. Neno: Bibilia Takatifu Nitaiangamiza miji ya nchi yenu, na kuziangusha chini ngome zenu zote. Neno: Maandiko Matakatifu Nitaiangamiza miji ya nchi yenu na kuziangusha chini ngome zenu zote. BIBLIA KISWAHILI nami nitaikatilia mbali miji ya nchi yako, na ngome zako zote nitaziangusha; |
Nchi yenu ni ukiwa; miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu, wageni wameila mbele ya macho yenu; nayo ni ukiwa, kana kwamba imeangamizwa na wageni.
Maana wewe umewaacha watu wako, nyumba ya Israeli, kwa sababu wamejaa kawaida za mashariki, nao ni wapiga ramli kama Wafilisti, na wanapeana mikono na wana wa wageni.
Basi, uovu wa Yakobo utatakaswa hivyo, na hayo ndiyo matunda yote ya kumwondolea dhambi yake; afanyapo mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa, hata maashera na sanamu za jua havitasimama tena.
Ndipo nilipouliza, Ee Bwana, hata lini? Naye akanijibu, Hadi miji itakapokuwa ukiwa, haina wenyeji, na nyumba zitakapokuwa hazina watu, na nchi hii itakapokuwa ganjo kabisa;
Bwana ameyameza makao yote ya Yakobo, Wala hakuona huruma; Ameziangusha ngome za binti Yuda Katika ghadhabu yake; Amezibomoa hata nchi Ameunajisi ufalme na wakuu wake.
nawe utasema, Nitapanda juu niiendee nchi yenye vijiji visivyo na maboma; nitawaendea watu wanaostarehe, wanaokaa salama, wote wakikaa pasipo kuta, ambao hawana makomeo wala malango;
Kwa sababu hiyo fitina itatokea kati ya watu wako, na ngome zako zote zitaharibiwa, kama vile Shalmani alivyoharibu Betharbeli, katika siku ya vita; mama akavunjikavunjika pamoja na watoto wake.
Akajibu akaniambia, akisema, Hili ndilo neno la BWANA kwa Zerubabeli, kusema, Si kwa uwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu, asema BWANA wa majeshi.