Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 8:2 - Swahili Revised Union Version

Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 8:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mfalme akamwachilia Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa ajili ya kiapo cha BWANA kilichokuwa kati yao, yaani, kati ya Daudi na Yonathani, mwana wa Sauli.


Mbona basi hukukishika kiapo chako kwa BWANA, na amri niliyokuagiza?


Nao wakuu wote, na mashujaa, na wana wote wa mfalme Daudi nao, wakaahidi kuwa watiifu kwa mfalme Sulemani.


patakuwa na kiapo cha BWANA katikati ya watu hao wawili, kwamba alipeleka mkono wake kutwaa mali ya mwenziwe, na mwenyewe atakubali hayo, wala hatalipa.


Mwanangu, mche BWANA, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;


Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa watawala na wenye mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema;


Na hapo watu walipoingia mwituni, tazama, hiyo asali ilikuwa ikidondoka; lakini hakuna mtu hata mmoja aliyetia mkono wake kinywani; kwa sababu hao watu walikuwa wakikiogopa kile kiapo.