Mhubiri 8:2 - Swahili Revised Union Version2 Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Tii amri ya mfalme, kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Mimi nasema hivi, Uishike amri ya mfalme; na hiyo kwa sababu umeapa kwa Mungu. Tazama sura |