Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 3:9 - Swahili Revised Union Version

Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfanyakazi hufaidi nini kutokana na juhudi zake hizo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Mtendaji anayo faida gani katika yale anayojishughulisha nayo?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 3:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Katika kila kazi mna faida; Bali maneno ya midomo huleta hasara tu.


Mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua?


Kisha nikaziangalia kazi zote zilizofanywa kwa mikono yangu, na taabu yote niliyotaabika katika kuzitenda; na tazama, yote ni ubatili na kufukuza upepo, wala faida hakuna chini ya jua.


Hiyo ndiyo balaa mbaya sana, ya kwamba kama vile alivyokuja, vivyo hivyo atakwenda zake; naye amefaidiwa nini mwenye kujitaabisha kwa ajili ya upepo?


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


watiini watu kama hawa, na kila mtu afanyaye kazi pamoja nao, na kujitaabisha.