Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 1:4 - Swahili Revised Union Version

Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kizazi chapita na kingine chaja, lakini dunia yadumu daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kizazi chapita na kingine chaja, lakini dunia yadumu daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kizazi chapita na kingine chaja, lakini dunia yadumu daima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vizazi huja na vizazi hupita, lakini dunia inadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vizazi huja na vizazi hupita, lakini dunia inadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kizazi huenda, kizazi huja; nayo dunia hudumu daima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 1:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Uliiweka nchi juu ya misingi yake, Isitikisike milele.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Kwa maana ni nani ajuaye yaliyo mema ya mwanadamu katika maisha yake, siku zote za maisha yake ya ubatili, anayoishi kama kivuli? Kwa maana ni nani awezaye kumweleza mwanadamu mambo yatakayofuata baada yake chini ya jua?


Je, Baba zenu wako wapi? Je, manabii nao wanaishi milele?


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


Mwisho akafa yule mke naye.