Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:1 - Swahili Revised Union Version

Hekima ameijenga nyumba yake, Amezichonga nguzo zake saba;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima amejenga nyumba yake, nyumba yenye nguzo saba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo zake saba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hekima ameijenga nyumba yake, Amezichonga nguzo zake saba;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:1
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akazisimamisha nguzo ukumbini pa hekalu; akaisimamisha nguzo ya kulia, akaiita jina lake Yakini; akaisimamisha nguzo ya kushoto, akaiita jina lake Boazi.


Akaifanya baraza ya nguzo; mikono hamsini urefu wake, na mikono thelathini upana wake; na ukumbi mbele yake; na nguzo na mihimili minene mbele yake.


Hekima hulia kwa sauti katika njia kuu, Hupaza sauti yake katika viwanja;


Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Nyumba hujengwa kwa hekima, Na kwa ufahamu huthibitika,


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?


Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa, Bila fedha na bila gharama.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


tena Yakobo, Kefa, na Yohana, waliosifika kuwa ni nguzo, walipoitambua ile neema niliyopewa, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kulia wa kuonesha ushirikiano; ili sisi tuende kwa Mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


Lakini nikikawia, upate kujua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, iliyo kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msingi wa kweli.


Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.