Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:1 - Swahili Revised Union Version

Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikilizeni! Hekima anaita! Busara anapaza sauti yake!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, hekima haitani? Je, ufahamu hapazi sauti?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:1
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.


Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri, na kusema, Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Na sharti Injili ihubiriwe kwanza katika mataifa yote.


na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.


Katika siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesu akasimama, akapaza sauti yake akisema, Mtu akiona kiu, na aje kwangu anywe.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Naye akaniambia, Nenda zako; kwa kuwa mimi nitakutuma uende mbali kwa watu wa Mataifa.


bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wagiriki, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.