Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:8 - Swahili Revised Union Version

Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na kona alikoishi mwanamke fulani. Basi akashika njia iendayo nyumbani kwa mwanamke huyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake, akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.


Mara yuko katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.


Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.


Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.


na wengine waokoeni kwa kuwanyakua katika moto; na wengine wahurumieni kwa hofu, mkilichukia hata vazi lililotiwa uchafu na mwili.


Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.