Waamuzi 16:1 - Swahili Revised Union Version1 Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake. Tazama sura |