Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 16:1 - Swahili Revised Union Version

1 Samsoni akaenda Gaza, akaona huko mwanamke kahaba, akaingia kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Siku moja Samsoni alikwenda mjini Gaza, akakutana na malaya mmoja akalala naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 16:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Akipita njiani karibu na pembe yake, Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,


Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kuu na pwani yake.


Pamoja na haya Yuda aliutwaa Gaza pamoja na mipaka yake, na Ashkeloni na mipaka yake, na Ekroni na mipaka yake.


Samsoni akateremka hadi Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti.


Watu wa Gaza wakaambiwa, ya kwamba, huyo Samsoni amekuja huku. Wakamzingira, wakamvizia usiku kucha, penye lango la mji, wakanyamaza kimya usiku kucha, wakisema, Na tungoje mpaka mapambazuko, ndipo tutamwua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo