Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:6 - Swahili Revised Union Version

Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye haijali njia ya uhai, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye haijali njia ya uhai, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye haijali njia ya uhai, njia zake ni za kutangatanga, wala hajui.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye hafikirii kuhusu njia ya uzima; njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima; njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ninapozitafakari njia zako, Naielekeza miguu yangu kwa shuhuda zako.


Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.


Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.


Hivyo ndivyo mwendo wa mwanamke mzinifu; Hula, akapangusa kinywa chake, Akasema, Sikufanya uovu.


Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;


Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya BWANA, Na mienendo yake yote huitafakari.


Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, Ni mjinga, hajui kitu.


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;