Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:7 - Swahili Revised Union Version

Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mambo haya mawili nakuomba ee Mungu, wala usinikatalie kabla sijafa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mambo haya mawili nakuomba ee Mungu, wala usinikatalie kabla sijafa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mambo haya mawili nakuomba ee Mungu, wala usinikatalie kabla sijafa:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ninakuomba vitu viwili, Ee Mwenyezi Mungu; usininyime kabla sijafa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ninakuomba vitu viwili, Ee bwana; usininyime kabla sijafa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mambo haya mawili nimekuomba; Usininyime [matatu] kabla sijafa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hata ikawa, walipokwisha kuvuka, Eliya akamwambia Elisha, Omba kwangu lolote utakalo nikutendee, kabla sijaondolewa kwako. Elisha akasema, Nakuomba, sehemu maradufu ya roho yako na iwe juu yangu.


Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.


Neno moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa BWANA Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa BWANA, Na kutafakari hekaluni mwake.


Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.


Uniondolee ubatili na uongo; Usinipe umaskini wala utajiri; Unilishe chakula kilicho kadiri yangu.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.