Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:11 - Swahili Revised Union Version

Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kuna wanaowalaani baba zao, wala hawawabariki mama zao;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye amwapizaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.


Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.


Msikilize baba yako aliyekuzaa, Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Kwa maana kila mtu amlaaniye baba yake au mama yake hakika atauawa, amemlaani baba yake na mama yake; damu yake itakuwa juu yake.


Mwana humheshimu baba yake, na mtumishi humcha bwana wake; basi, kama mimi ni baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki wapi? BWANA wa majeshi awauliza ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau jina langu. Nanyi mwasema, Tumelidharau jina lako kwa jinsi gani?


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Na alaaniwe amdharauye baba yake au mama yake. Na watu wote waseme, Amina.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kuyatenda yaliyo wajibu wao kwa jamaa zao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Kwa kuwa hili lakubalika mbele za Mungu.


Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;