Methali 30:11 - Swahili Revised Union Version11 Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kuna watu ambao huwalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Kuna wanaowalaani baba zao, wala hawawabariki mama zao; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Wako watu wale ambao huwalaani baba zao na wala hawawabariki mama zao; Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao. Tazama sura |