Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:8 - Swahili Revised Union Version

Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hiyo itakuwa dawa mwilini mwako, na kiburudisho mifupani mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hiyo itakuwa dawa mwilini mwako, na kiburudisho mifupani mwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hiyo itakuwa dawa mwilini mwako, na kiburudisho mifupani mwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hii itakuletea afya mwilini mwako, na lishe kwenye mifupa yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hii itakuletea afya mwilini mwako, na mafuta kwenye mifupa yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Vyombo vyake vimejaa maziwa, Na mafuta ya mifupani mwake ni laini.


Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.


Toka wayo wa mguu hadi kichwani hamna uzima ndani yake; bali jeraha na machubuko na vidonda vitokavyo usaha; havikufungwa, havikuzongwazongwa, wala havikulainishwa kwa mafuta.


Nanyi mtaona, na mioyo yenu itafurahi, na mifupa yenu itasitawi kama majani mabichi; na mkono wa BWANA utajulikana, uwaelekeao watumishi wake, naye atawaonea adui zake ghadhabu.